- Tangazo -
Tuanze na maswali 7 ya msingi kuhusu tafiti na uandishi wa habari Tanzania, hasa kwa kuzingatia mlipuko wa Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19) katika nchi 223 duniani, ikiwemo Tanzania. Je! Kila utafiti uliofanywa na kuchapishwa katika majarida ya...
Kama uko katika mazingira yanayokuweka kwenye hatari ya kupata maambukizi ya vimelea, vikiwemo virusi vya korona au hata bakteria, silaha yako ya kwanza ni kujiweka salama kwa kuzingatia kanuni za afya. Vaa barakoa, nawa mikono kwa sabuni na maji...