- Tangazo -
Dunia bado inaendelea kushuhudia madhara ya  mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya korona (UVIKO-19). Kwa mujibu wa takwimu za shirika la afya duniani, watu takribani milioni 104  wameambukizwa na milioni 2.3 wamepoteza maisha tangu ugonjwa ulipotangazwa China mwaka mmoja...
MwanaSayansi ni gazeti la Kiswahili linalochapisha habari zitokanazo na maarifa au utafiti wa kisayansi nchini Tanzania na kwingineko duniani. Hili ni chapisho letu la kwanza kabisa. Tunaanza tukiwa na matarajio makubwa yakuhakikisha taarifa na habari za sayansi, hasa kutoka nchini...