Kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20 kumekuwa na jitihada za pamoja barani Afrika katika kukabiliana na ugonjwa wa siko seli. Jambo lenye kuleta matumaini ni kwamba, jitihada hizi zimeanza kuonyesha mafanikio.
Kwa upande mwingine, kuna changamoto katika maeneo manne. Changamoto ya kwanza ni uwepo wa maeneo machache ya...
Je umeshawahi kujiuliza ni kitu gani hufanya wewe kuwa na ufanano wa wazazi wako? Umewahi kujiuliza ni kwa kiasi gani unafahamu kuhusu mlolongo wa uzao kwenye familia yenu? Je kuna matatizo ya kiafya yanayotembea ndani ya familia kutoka kizazi...