- Tangazo -
Home Afya Kiswahili sanifu cha COVID-19 ni UVIKO-19

Kiswahili sanifu cha COVID-19 ni UVIKO-19

- Tangazo -

Baraza la Kiswahili la Taifa – BAKITA limechapisha istilahi sanifu za Hali ya Hewa, Ugonjwa wa Virusi vya Korona – UVIKO – 19 na Mazingira, kama sehemu ya mfululizo wa warsha tatu za usanifishaji wa maneno ambazo zilifanyika hivi karibuni chini.

Istilahi za hali ya hewa zilisanifishwa mwezi Oktoba 2019, istilahi za UVIKO -19 zikasanifishwa Juni 2020 na zile za Mazingira zilisanifishwa Septemba 2020.

“Istilahi hizi zimekuwa ni msaada mkubwa kwa wadau mbalimbali kwani zimeziba pengo lililokuwapo la uhaba wa visawe vya istilahi katika nyuga zinazohusika,” BAKITA imesema katika chapisho hilo.

BAKITA imeziomba wizara, taasisi na mashirika mengine kutumia fursa hii kuwasilisha istilahi zao ili zikapatiwe visawe vya Kiswahili kwa ajili ya kurahisha mawasiliano kwa umma Taifa.
Kujifahamu istilahi hizo kwa undani: Soma chapisho hapa:

Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download [825.71 KB]

- Tangazo -
MwanaSayansi
MwanaSayansihttps://sayansi.medicopress.mediai
MwanaSayansi ni chanzo mahususi cha habari, maoni na uchambuzi kuhusu sayansi na teknolojia nchini Tanzania; hasa katika nyanja ya maendeleo. Taarifa zote na maudhui huzingatia sera na taratibu za MedicoPRESS, asasi iliyoanzishwa kwa lengo la kukuza ujuzi wa waandishi wa habari na wanasayansi katika kuwasilisha taarifa za kitabibu na kisayansi kwa jamii kupitia vyombo vya habari.
- Tangazo -

Tufuate

570FansLike
330FollowersFollow
100SubscribersSubscribe

Makala Mpya

- Tangazo -

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Tangazo -